Categories: Popular books

Maarifa ya Jamii Darasa la tatu

  • ISBN: 9789976617146
  • Number of pages: 82 pages
  • Product format: Paperback
  • Publisher: Taasisi ya Elimu Tanzania
  • Year published: 2019
  • Availability: In stock
9,500 TZS

Product description

Kitabu hiki cha Maarifa ya Jamii ru kitabu cha kwanza cha mwanafunzi. Huu ni mfululizo wa vitabu vinne vya somo hili. Vitabu hivyo ni vya darasa ln tatu, nne, tano na sita. Kitabu kimeandaliwa Hi kusaidia kujenga umahiri katika somo la Maarifa ya Jam

Qty

Tab Article

Kitabu hiki cha Maarifa ya Jamii ru kitabu cha kwanza cha mwanafunzi. Huu ni mfululizo wa vitabu vinne vya somo hili. Vitabu hivyo ni vya darasa ln tatu, nne, tano na sita. Kitabu kimeandaliwa Hi kusaidia kujenga umahiri katika somo la Maarifa ya Jamii Aidha mada zilizoelezwa zinahusu mazingira, uzulendo, matumizi ya ramani na elimu ya anga. Pia, knnuni za uchumi katika uzalishaji mali zimeetezwa.
Uandishi wa kitabu umezingatia mahitaji ya mwanafunzi katika
kujenga umahiri wa Kusoma, Kuandika nu Kuhesabu (KKK). Hivyo, kimesheheni matini za kusoma. Matini hizo zimeandikwa katika rntindo wa ushoiri, majigambo, hadithi, majibizano nn vifunqu vya rnuneno no kufafanuliwa kwa picha na michoro.
Maswali yaliyomo kwenye kitabu hiki yatamwezesha mwanafunzi kufikiri nn kujenga umahiri uliokusudiwa. Aidha, kazi anazopewa mwanafunzi zitamwezesha kupata uelewa wa kina no kutumia umahiri uliojengwa katika maishayake ya kila siku.

0 reviews for Maarifa ya Jamii Darasa la tatu

Add a review

Your Rating