Free Support 24/7
+255 743 952 935
Life did not stop, and one had to live . . . July 1805, St Petersburg, Russia: A country on the brink of attack. A city on the threshold of war and disruption. Five Russian families will find out just how their lives are going to entangle during the
Publisher: Fingerprint! Publishing
Introducing the newest Wimpy Kid author - Rowley Jefferson! Rowley's best friend Greg Heffley has been chronicling his middle-school years in fourteen Diary of a Wimpy Kid journals . . . and counting. It's finally time for readers to hear from Rowley
Publisher: Penguin Random House India
Huu ni mchezo wa kumi na tisa katika mfululizo wa vitabu vya michezo ya kuigiza kutoka Tanzania Publishing House. Michezo hii, imeendelea kuburudisha na kuelimisha wasomaji wa rika zote tangu ilipochapishwa kwa mara ya kwanza. Kitabu hiki kama vingin
Publisher: Mkuki na nyota Publishers
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Maarifa ya Jamii, kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Darasa la Saba. Kitabu hiki, kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa Maarifa ya J
Publisher: Taasisi ya Elimu Tanzania
Kitabu hiki ni kwa ajili ya mwanafunzi wa Darasa la Tano kujifunzia somo la Sayansi na Teknolojia. Kitabu kinalenga kusaidia kukuza umahiri wa stadi za uchunguzi, ugunduzi, udadisi, ubunifu na utumiaji wa taarifa za kisayansi na kiteknolojia.
Aidha,
Publisher: TIE
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Uraia na Maadili kuanzia Oarasa la Tatu hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Oarasa la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na Muhtasari wa Somo la Uraia
Publisher: TIE
Kitabu hiki kinalenga kukuendeleza katika kujenga stadi za kuhesabu, kuandika na kusoma huku ukijenga msingi wa Hisabati. Aidha, kitabu hiki kina sura kumi na tatu zilizoandaliwa ili kukidhi mahitaji ya muhtasari wa somo la Hisabati Darasa la Nne. Su
Publisher: TIE
Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa Uraia na Maadili wa mwaka 2016 ambao unazingatia ujenzi wa umahiri. Ni mwendelezo wa Kitabu cha Uraia na Maadili Darasa la Tatu.
Kitabu hiki kina sura kumi na moja na kila sura imeundwa na vipengele
Publisher: Taasisi ya Elimu Tanzania
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo laSayansi na Teknolojia kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Sayansi na Teknolojia kwa Darasa la Saba wa mwaka 2019 uliotole
Publisher: TIE
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu kilichoandaliwa mahususi kwa mwanafunzi wa Darasa la Tano. Kitabu hiki kinalenga kukuendeleza katika kujenga stadi za kuhesabu, kuandika na kusoma huku ukijenga msingi wa Hisabati. Aidha, kitabu hiki
Publisher: TIE
Kitabu hiki ni cha tatu katika mfululizo wa vitabu vitatu vya somo la Stadi za Kazi kuanzia Darasa la Tano hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Darasa la Saba: Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa somo la Stadi za
Publisher: TIE
Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Hisabati, kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Darasa la Saba. Uandishi wa kitabu hiki umezingatia mahitaji yako katika kukuza na kuend
Publisher: TIE
Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Uraia na Maadili kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba. Kitabu hiki cha Mwanafunzi Darasa la Sita kimeandaliwa kulingana na Muhtasari na Mwongozo wa Mwalimu wa Kufundisha somo la Urai
Publisher: TIE
Kitabu hiki kinalenga kusaidia kukuza umahiri wa stadi za uchunguzi, ugunduzi na udadisi. Pia, kitasaidia kukuza stadi za ubunifu na utumiaji wa taarifa za kisayansi na kiteknolojia.
Aidha, kitabu kina sura kumi na moja zilizoandaliwa kukidhi mahita
Publisher: Taasisi ya Elimu Tanzania
Spanning world civilizations, synthesizing political, philosophical and religious texts and thousand of years of violent conflict, The concise 33 Strategies of War is a comprehensive guide to the subtle social game of everyday life. Based on profound
Publisher: Profile Book Ltd