Categories: Religion

Isimu jamii

6,000 TZS

Product description

Isimujamii: Sekondari na Vyuo ni kitabu cha nne katika mfululizo wa vitabu vya sarufi vinavyotayarishwa na Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI), Cbuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vitabu vingine vilivyotolewa katika mfululizo huu ni Sarufi Miundo ya K

Qty

Tab Article

Isimujamii: Sekondari na Vyuo ni kitabu cha nne katika mfululizo wa vitabu vya sarufi vinavyotayarishwa na Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili (TUKI), Cbuo Kikuu cha Dar es Salaam. Vitabu vingine vilivyotolewa katika mfululizo huu ni Sarufi Miundo ya Kiswahili Sanifu (SAMIKISA), Sarufi Maumbo ya Kiswahili Sanifu (SAMAKISA), na Fonolojia ya Kiswahili Sanifu (FOKISA). Vitabu hivi vya sarufi vinalenga kukuza taaluma ya Kiswahili katika vipengele vya Miundo (Sintaksia), Maumbo (Mofolojia), Umbosauti (Fonolojia), na Isimujamii.

0 reviews for Isimu jamii

Add a review

Your Rating