Categories: General

Malkia Bibi Titi Mohamed

  • ISBN: 9789987777068
  • Number of pages: 50 pages
  • Product format: Paperback
  • Author: Emmanuel Mbogo
  • Publisher: APE Network
  • Year published: 2018
  • Availability: In stock
7,000 TZS

Product description

Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wak

Qty

Tab Article

Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wakhofia kufukuzwa kazi na mkoloni, Titi aliwahamasisha wanawake kote nchini kuupigania uhuru wa Tanganyika

0 reviews for Malkia Bibi Titi Mohamed

Add a review

Your Rating