Card List Article
Kitabu hiki ni cha pili katika mfululizo wa vitabu vya Stadi za Kazi ambacho kimeandaliwa mahususi kwa mwanafunzi wa Darasa la Sita. Kitabu hiki kimelenga kukuza umahiri wa stadi za uchunguzi, ugunduzi, udadisi, ubunifu, kusoma, kuandika na kuhesabu.