Books by Taasisi ya Elimu Tanzania

Showing 1 to 10 of 10 records (1 Pages)
Sort By:
text_showing_page_of_pages
Sort By:

Card List Article

Kitabu hiki cha Maarifa ya Jamii ru kitabu cha kwanza cha mwanafunzi. Huu ni mfululizo wa vitabu vinne vya somo hili. Vitabu hivyo ni vya darasa ln tatu, nne, tano na sita. Kitabu kimeandaliwa Hi kusaidia kujenga umahiri katika somo la Maarifa ya Jam

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kinalenqu kukusaidia kukuza umahiri wa stadi za uchunguzi, ugunduzi, udadisi, ubunifu na utumiaji wa taarifa za kisayansi na kiteknolojic.
Aidha, kitabu hiki kina sura kumi na moja zilizoandaliwa Hi kukidhi mahitaji ya muhtasari wa somo

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vya Kiswahili kilichoandaliwa mahususi kwa ajili ya mwanafunzi wa Darasa la nne. Kitabu kinalenga kukuza uwezo wako wa kuzungumza, kusikiliza, kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili. Pia, kitabu ki

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vya Kiswahili kilichoandaliwa mahususi kwa ajili ya mwanafunzi wa Darasa la tano. Kitabu kinalenga kukuza uwezo wako wa kuzungumza, kusikiliza, kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili. Pia, kitabu k

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kimeandaUwa kuUngana na muhtasari wa elimu ya msingi darasa la kwanza, mwaka 2015. Ni kitabu kinachoundwa na sura kuu nane zenye kujenga umahiri wa afya na mazingira. Sura hizo ni mwili wa binadamu, Usafi wa mwili na chakula bora. Sura zi

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vya Kiswahili kilichoandaliwa mahususi kwa ajili ya mwanafunzi wa Darasa la sita. Kitabu kinalenga kukuza uwezo wako wa kuzungumza, kusikiliza, kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili. Pia, kitabu k

11,000 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kimeandaliwa kulinqana na Muhtasari wa Uraia na Maadili wa Mwaka 2016 ambao unazingatia ujenzi wa umahiri.
Muundo wa kitabu hiki umegawanyika katika sura kuu nane ambazo nazo zinaundwa na sura ndogondogo. Katika kila sura kuna maswali, m

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki ni cha tano katika mfululizo wa vitabu vitano vya somo la Maarifa ya Jamii, kuanzia Darasa la Tatu hadi la Saba, kilichoandaliwa mahususi kwako mwanafunzi wa Darasa la Saba. Kitabu hiki, kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa Maarifa ya J

11,000 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kimeandaliwa kulingana na muhtasari wa Uraia na Maadili wa mwaka 2016 ambao unazingatia ujenzi wa umahiri. Ni mwendelezo wa Kitabu cha Uraia na Maadili Darasa la Tatu.
Kitabu hiki kina sura kumi na moja na kila sura imeundwa na vipengel

9,500 TZS

Card List Article

Kitabu hiki kinalenga kusaidia kukuza umahiri wa stadi za uchunguzi, ugunduzi na udadisi. Pia, kitasaidia kukuza stadi za ubunifu na utumiaji wa taarifa za kisayansi na kiteknolojia.
Aidha, kitabu kina sura kumi na moja zilizoandaliwa kukidhi mahit

9,500 TZS