Books by APE Network

Showing 4 to 30 of 190 records (7 Pages)
Sort By:
text_showing_page_of_pages
Sort By:

Card List Article

YALIYOMO KATIKA KITABU HIKI:
Zaidi ya Maswali 4000 ya masomo saba yanayofundishwa Shule za Msingi (Hisabati, Sayansi na teknolojia, English, Kiswahili, Maarifa ya Jamii na Stadi za Kazi pamoja na Elimu ya Uraia na Maadili) kutoka katika mitihani ya

25,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kina mkusanyiko wa maswali zaidi ya 570 toka mitihani ya taifa ya kidato cha pili toka mwaka 2003 hadi 2018 na majibu yaliyoandaliwa kwa ufasaha mkubwa. Kamusi ya maneno muhimu yanayojitokeza katika somo la kiswahili kidato cha kwanza na cha pili.

7,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Maswali kutoka mitihani ya taifa toka mwaka 2005 hadi mwaka 2020 na majibu yaliyoandaliwa kwa usahihi, ustadi na ufasaha mkubwa. Muhtasari wa somo la Kiswahili hususani kipengele cha Uhakiki pamoja na dondoo muhimu zitakazowasaidia wanafunzi wa kidat

10,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Tino alistakimu Kiungani Sega, nje kidogo ya jiji la Mindule. Alibangaiza kwa kuvuta kwama. Alikuwa na mke na watoto watatu. Mtoto wake mkubwa, Cheche (mvulana wa miaka 12) ghafla alivunjika kiuno katika michezo maalumu ya kusherehekea uhuru wa nchi

6,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 3 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha mwanafunzi kupenda kujifunza zai

8,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 4 wa mwaka 2020. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha mwanafunzi kupenda kujifunza zai

9,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 5 wa mwaka 2020. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha mwanafunzi kufurahia somo la Kis

9,500 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kiswahili kulingana na Muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 6 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha mwanafunzi kupenda kujifunza zai

9,500 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kuandika kulingana na muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 1 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha msomaji kupenda kujifunza zaidi.

8,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kuandika kulingana na muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 2 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora. Kitabu kina mazoezi mengi kwa vitendo hivyo hadi kufikia

8,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kinafundisha somo la Kusoma kwa kuzingatia muhtasari mpya wa Elimu ya Msingi kwa Darasa la 1 wa mwaka 2016. Uandaaji wa kitabu hiki umezingatia misingi na vigezo vya uandishi bora na umelenga kumhamasisha msomaji kupenda kujifunza zaidi.

8,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Tamthilia hii inahusu Bibi Titi Mohamed. Titi alikuwa kiongozi shupavu aliyeupipgania uhuru wa Tanganyika kwa ujasiri mkubwa akiwa mwanachama wa TANU na kiongozi wa Umoja wa Wanawake. Wakati wanaume wengi walipokuwa wakiogopa kukata kadi za TANU, wak

7,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Comprehensive lessons on map reading as required by the Tanzanian Secondary school Geography Syllabus.
Worked example to guide students on how to apply the theory of map reading to tackle various problems. More than 50 useful illustrations that will

10,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kina mkusanyiko wa Mashairi ya Chekacheka zaidi ya 30

3,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

This book teaches Mathematics for Standard 3 as required by the Tanzanian syllabus of 2016. The topics covered include: Number Addition up to 9999, Subtraction, Multiplication, Number Patterns, Time, Units and Measurements, Money, Elementary Geometry

9,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

This book meets all requirements of the current Tanzania Primary School syllabus of Mathematics for Standard 4. In addition to its many worked-examples, the book contains over 175 exercises and activities which will actively engage pupils in learning

9,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

This book has been written to address the requirements of the current Tanzanian Primary school syllabus of Standard 5 Mathematics. It uses a simple language and has plenty of systematic examples for each concept introduced. The over 130 exercises and

9,500 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

This book comprehensively covers the requirements of the current Tanzanian Primary School syllabus for Mathematics Standard 6. Like similar books for lower classes, this book is competence-based and easy to read and understand. Concepts are explained

9,500 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Mfadhili ni riwaya inayoswawiri juu ya penzi zito baina ya watu wawili, Gaddi Bullah na Dania eobald ambalo linapitia katika misukosuko na mitihani mikubwa.

6,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Tamthiliya ya Morani inasawiri misukosuko ya kisiasa na kiuchumi nchini Tanzania katika miaka ya 80. Katika kiwango cha uhalisia, tunamwona Dongo, mhusika mkuu, akipambana na wahujumu uchumi ili kuwakomboa wanyonge. Lakini ghafla nyota iliyong’aa n

3,500 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Historia ya maisha ya Siti Binti Saad kama yalivyosawiriwa na Shaaban Robert na Nasra Mohamed Hilal, na sasa, katika tamthiliya hii ya kihistoria, itamfunulia msomaji wasifu na safari ya maisha ya mwanamama huyu. Katika historia ya safari ya Siti Bin

7,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Kitabu hiki kina mkusanyiko wa nahau zaidi ya 650, maana zake pamoja na matumizi yake.

7,000 TZS

Publisher: APE Network

Card List Article

Oktoba, 1966 kulizuka mgogoro mkubwa wa kihistoria kati ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam na Muhimbili. Wanafunzi hawa walifanya maandamano makubwa hadi Ikulu wakipinga vikali sera ya kuwataka wajiunge n

7,000 TZS

Publisher: APE Network